GE2025 Mchimbaji madini, Jumanne Misungwi ajitosa kuwania udiwani Kata ya Ludete

GE2025 Mchimbaji madini, Jumanne Misungwi ajitosa kuwania udiwani Kata ya Ludete

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mchimbaji wa madini mkoa wa Geita Jumanne Misungwi amechukua fomu ya kuomba kugombea Udiwani katika Kata ya Ludete iliyoko Halmashauri ya Mji mdogo wa Katoro Wilaya ya Geita.

Amechukua fomu hiyo leo Juni 28, 2025 katika ofisi za Kata hiyo ambayo amekabidhiwa na Katibu wa CCM wa Kata hiyo Juvenary Kabale.

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Misungwi amechukua fomu kuomba kushiriki kura za maoni ndani ya chama hicho ili kupata ridhaa ya kuwa Mgombea wa Chama hicho katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba Mwaka huu.

Screenshot 2025-06-28 222204.png
 
Amechoka kuchimba madini sasa anachimba mali za umma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom