Mchezo wa siasa....waweza onja ubaya mwisho ukapata raha

geophysics

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
904
166
Baada ya mateso mengi ni faraja....wakati mwingine ndivyo anaonekana Mzee Juma Duni Haji ambaye sasa ni waziri katika serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Leo nimeomuona amesimama kwenye jukwaa la Umoja wa Mataifa mjini New York akihutubia....

Kwa wale mnaofuatilia siasa za Zanzibar mtakumbuka mateso aliyoyapata huyu baba...nadhani yeye inaweza kuwa mara mbili ya Seif Sharif Hamad kuteswa na vyombo vya dola.

Muone hapa: http://4.bp.blogspot.com/-KvjW56yIY8E/Tnk5YZpjfzI/AAAAAAABvg8/wmrl-TmvjhI/s1600/485162%5B2%5D.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom