Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 573
- 2,553
Maneno ya Mchezaji wa Kaizer Chiefs baada ya kuwasili uwanja wa Ndege wa JK, Dar es Salaam kwa ajili ya Tamasha la Mwananchi.
".....Siwajui vizuri Yanga, nawajua Simba sababu tuliwahi kuja hapa wakatuchapa tatu kwa nunge."
Maneno ya Mchezaji wa Kaizer Chiefs baada ya kuwasili uwanja wa Ndege wa JK, Dar es Salaam kwa ajili ya Tamasha la Mwananchi.
Uta achaje kujulikana ulienda kuwasha moto kwenye nchi yao almanusura nchi iingie kwenye janga la kama sio zimamoto kufanya kazi yao leo ingekua story nyingine
Kama unawajuwa vizuri Wasouth Africa walivyo washamba huwezi kushangaa kauli hiyo.
Sasa kama ni washamba kwanini mumsajili skudu Sasa nani mshamba hapo kama sio nyie mliesajili mshambaKama unawajuwa vizuri Wasouth Africa walivyo washamba huwezi kushangaa kauli hiyo.
Taifa linaloongoza kwa RAIA wake kukosa international exposure ni hao South Africa.
Halafu usishangae hapo mwenzako anajuwa ni Simba chips ni maarufu sana South Africa na zile Rays.
Dr kasema Nani kupingaKama unawajuwa vizuri Wasouth Africa walivyo washamba huwezi kushangaa kauli hiyo.
Taifa linaloongoza kwa RAIA wake kukosa international exposure ni hao South Africa.
Halafu usishangae hapo mwenzako anajuwa ni Simba chips ni maarufu sana South Africa na zile Rays.
Heeeeee 😜😜😜😜Kama unawajuwa vizuri Wasouth Africa walivyo washamba huwezi kushangaa kauli hiyo.
Taifa linaloongoza kwa RAIA wake kukosa international exposure ni hao South Africa.
Halafu usishangae hapo mwenzako anajuwa ni Simba chips ni maarufu sana South Africa na zile Rays.
Dr uchwara huyo kama proefesa maji marefu tuDr kasema Nani kupinga
Mbona unazidi kuwa mkaidi? Utapigwa hatimaye ukikaidi utapigwa2Hio kauli imewasidia nini?
Moto upi!?😆😆
Acha tu akumbuke ule moto waliopelekewa ile siku siyo poa,walikuwa wanaomba mpira uishe..
Ina maana ni Try again ndio anafanya huu utoto?Namshangaa kiongozi mkubwa wa simba, tena Mwenyekiti wa bodi, ni zaidi ya ceo, anapost video na hajaelewa kinachongelewa/
yule mchezaji ameongea kimpira hawaijui yanga, zaidi ya simba kwa sababu wamecheza nayo.
Simba mnatatizo kwenye uongozi, SALIM hivi vitu amuachie ahmed ally
Anajua watu wake wanapenda vitu cheap, hapo yamelipuka kama nyumbu msimu mzima wametoka tupu sasa hivi wamewekeza nguvu kwenye vitukoNamshangaa kiongozi mkubwa wa simba, tena Mwenyekiti wa bodi, ni zaidi ya ceo, anapost video na hajaelewa kinachongelewa/
yule mchezaji ameongea kimpira hawaijui yanga, zaidi ya simba kwa sababu wamecheza nayo.
Simba mnatatizo kwenye uongozi, SALIM hivi vitu amuachie ahmed ally