Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 25,004
- 90,602
Mwambie ashindweDah ngoja nijaribu ila sio rahisi kama unavyofikiri.
Sijui ni shetani gani huyu anayetaka kunipitia.
Mwambie ashindweDah ngoja nijaribu ila sio rahisi kama unavyofikiri.
Sijui ni shetani gani huyu anayetaka kunipitia.
AmenMwambie ashindwe
Fala sana wewee😂😂😂Dada zetu nachowapendea wana huruma sana.
Atajua una mtu lkn bado anakuonea huruma anaekupa mzigo.
Kwani wanaume mnayaangalia maisha kwa angle gani? Sio nyie mnaoenda kununua ngono mtaani? Hamjui kuwa hapo anapiga kila mtu? Sio nyie mnaotongoza wake wa wenzenu? Tena mmewe unamjua kabisa... Katika haya mambo mie naona tupo ngoma droo. Wanawake wana michepuko na wanaume wana michepuko... Mme akizaa nje ya ndoa anajiona kidume huku kwenye ndoa yake analea watoto wa wenzake 😂 😂 😂 Mtulie tu wanaumeDada zetu nachowapendea wana huruma sana.
Atajua una mtu lkn bado anakuonea huruma anaekupa mzigo.
Mwache achepuke maana hata wewe unachepuka...halafu unayomfanyia huyo mchumba wako siyo poa hata ndoa yako itajayumba kwa sababu ya tabia za ajabu ajabu...nyie endeleeni kuchepuka mpe na mimba kabisaNatumaini Christmas na boxing day yenu imekwenda vyema wakuu. Tuvumiliane uandishi, somo la mwandiko sikuwahi kufaulu.
Iko hivi, nina mchumba wangu tuko pamoja huu mwaka wa 3, tuko vizuri tu hakuna shida yoyote kwenye uhusiano wetu.
Baada ya kusoma nyuzi nyingi za wanaume kuchapiwa mke au mpenzi kwa hili jukwaa, nikaona ni bora nitafute mchepuko ili siku tukiachana nipate pakupumzika.
Nilipata mchepuko miezi 6 nyuma, yuko vizuri ananihudumia poa sana, napewa mambo ya tanga kama yote vile,sio wa vizinga, kiujumla ametulia sana tu na anafahamu kuwa nina mchumba.
Tatizo limeibuka wiki iliyipita baada ya kufanya matusi, akaniambia"baba swalehe nimepata mwanaume ambae naona yuko serious na mimi sasa chagua moja uachane na mchumba wako ili mimi niwe official wife to be au nimkubalie huyo jamaa lakini tuendelee kuchepukiana".
Kiukweli mpaka naandika uzi sijamjibu chochote zaidi ya kumwambia NIPE MDA NTAKUJIBU.
Wajuzi wa haya mambo ushauri wenu unahitajika.
NB: Siwezi kumuacha mchumba wangu.
Em kunywa bia yoyote chief bili kwangu mpaka tarehe 1 JanuaryKwani wanaume mnayaangalia maisha kwa angle gani? Sio nyie mnaoenda kununua ngono mtaani? Hamjui kuwa hapo anapiga kila mtu? Sio nyie mnaotongoza wake wa wenzenu? Tena mmewe unamjua kabisa... Katika haya mambo mie naona tupo ngoma droo. Wanawake wana michepuko na wanaume wana michepuko... Mme akizaa nje ya ndoa anajiona kidume huku kwenye ndoa yake analea watoto wa wenzake 😂 😂 😂 Mtulie tu wanaume
Jamaan sindo maana nmeanza nanyinyi. Mnaroho nzuriKwani wanaume mnayaangalia maisha kwa angle gani? Sio nyie mnaoenda kununua ngono mtaani? Hamjui kuwa hapo anapiga kila mtu? Sio nyie mnaotongoza wake wa wenzenu? Tena mmewe unamjua kabisa... Katika haya mambo mie naona tupo ngoma droo. Wanawake wana michepuko na wanaume wana michepuko... Mme akizaa nje ya ndoa anajiona kidume huku kwenye ndoa yake analea watoto wa wenzake![]()
![]()
Mtulie tu wanaume



Mjasiriamali ..nmekumis sanaaaaaFala sana wewee![]()
Nina supu mpyaaaaaaa jikoni kesho natoa ofa,.uje na dada zako wawiliMjasiriamali ..nmekumis sanaaaaa
Unazengua nyau wee ********** zakoNina supu mpyaaaaaaa jikoni kesho natoa ofa,.uje na dada zako wawili




Tumeanza? Haya mambo tangu enzi... Sema siku hizi mambo mengi yapo hadharani. Zamani wanawake walikuwa wanafanya kwa siri kubwaJamaan sindo maana nmeanza nanyinyi. Mnaroho nzuri![]()
Sijaelewaaaaa kabisaa 😂😂😂Unazengua nyau wee ********** zako
Inamaana hukunielewa???
hawa wanaofanya kwa uwazi ..ndo.wameshikwa nann sasaTumeanza? Haya mambo tangu enzi... Sema siku hizi mambo mengi yapo hadharani. Zamani wanawake walikuwa wanafanya kwa siri kubwa
Muoneeeeee , utakamatika tuuuSijaelewaaaaa kabisaa![]()




