hopetumaini
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 529
- 317
Natumaini Christmas na boxing day yenu imekwenda vyema wakuu. Tuvumiliane uandishi, somo la mwandiko sikuwahi kufaulu.
Iko hivi, nina mchumba wangu tuko pamoja huu mwaka wa 3, tuko vizuri tu hakuna shida yoyote kwenye uhusiano wetu.
Baada ya kusoma nyuzi nyingi za wanaume kuchapiwa mke au mpenzi kwa hili jukwaa, nikaona ni bora nitafute mchepuko ili siku tukiachana nipate pakupumzika.
Nilipata mchepuko miezi 6 nyuma, yuko vizuri ananihudumia poa sana, napewa mambo ya tanga kama yote vile,sio wa vizinga, kiujumla ametulia sana tu na anafahamu kuwa nina mchumba.
Tatizo limeibuka wiki iliyipita baada ya kufanya matusi, akaniambia"baba swalehe nimepata mwanaume ambae naona yuko serious na mimi sasa chagua moja uachane na mchumba wako ili mimi niwe official wife to be au nimkubalie huyo jamaa lakini tuendelee kuchepukiana".
Kiukweli mpaka naandika uzi sijamjibu chochote zaidi ya kumwambia NIPE MDA NTAKUJIBU.
Wajuzi wa haya mambo ushauri wenu unahitajika.
NB: Siwezi kumuacha mchumba wangu.
Iko hivi, nina mchumba wangu tuko pamoja huu mwaka wa 3, tuko vizuri tu hakuna shida yoyote kwenye uhusiano wetu.
Baada ya kusoma nyuzi nyingi za wanaume kuchapiwa mke au mpenzi kwa hili jukwaa, nikaona ni bora nitafute mchepuko ili siku tukiachana nipate pakupumzika.
Nilipata mchepuko miezi 6 nyuma, yuko vizuri ananihudumia poa sana, napewa mambo ya tanga kama yote vile,sio wa vizinga, kiujumla ametulia sana tu na anafahamu kuwa nina mchumba.
Tatizo limeibuka wiki iliyipita baada ya kufanya matusi, akaniambia"baba swalehe nimepata mwanaume ambae naona yuko serious na mimi sasa chagua moja uachane na mchumba wako ili mimi niwe official wife to be au nimkubalie huyo jamaa lakini tuendelee kuchepukiana".
Kiukweli mpaka naandika uzi sijamjibu chochote zaidi ya kumwambia NIPE MDA NTAKUJIBU.
Wajuzi wa haya mambo ushauri wenu unahitajika.
NB: Siwezi kumuacha mchumba wangu.