Killmonger
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 2,028
- 2,252
Hali ya kule haivumiliki dada....
Hahahhaha Mbee? Umeshikilia hali ya kule hali ya kule. Elezea mkuu hiyo hali.
Hali ya kule haivumiliki dada....
Nimekubamba au nimekufumania?Alikatikia kidole tu ukapizi?
Aiseee
[emoji260]
Ongeza iwe y 6 hutajujia charge
Umenibamba[emoji23]Nimekubamba au nimekufumania?
Duh una hatari MushiHali ya kule ilikuwa balaaa
Umenikimbia ukadhani sitakukamata?Umenibamba[emoji23]
Hata sijakukimbia wewe ndo umekimbiaUmenikimbia ukadhani sitakukamata?
Habari za Bunju
Karibu Vikindu tulime matikiti majiHata sijakukimbia wewe ndo umekimbia
Bunju[emoji849]umeanza kuchanganya madesa[emoji57]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ahsante nitakuja keshoKaribu Vikindu tulime matikiti maji
Haka kathread mbona umekapenda sana? Umeipendea 0713 au kidole au kupizi?Duh una hatari Mushi
Hata sijakapenda kanishangaza tu huyu MushiHaka kathread mbona umekapenda sana? Umeipendea 0713 au kidole au kupizi?
Kwahiyo umempenda Mushi?Hata sijakapenda kanishangaza tu huyu Mushi