Killmonger
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 2,014
- 2,231
Hali ya kule haivumiliki dada....
Hahahhaha Mbee? Umeshikilia hali ya kule hali ya kule. Elezea mkuu hiyo hali.
Hali ya kule haivumiliki dada....
Nimekubamba au nimekufumania?Alikatikia kidole tu ukapizi?
Aiseee
Ongeza iwe y 6 hutajujia charge
UmenibambaNimekubamba au nimekufumania?
Duh una hatari MushiHali ya kule ilikuwa balaaa
Hata sijakukimbia wewe ndo umekimbiaUmenikimbia ukadhani sitakukamata?
Habari za Bunju
Karibu Vikindu tulime matikiti majiHata sijakukimbia wewe ndo umekimbia
Bunjuumeanza kuchanganya madesa
Ahsante nitakuja keshoKaribu Vikindu tulime matikiti maji
Haka kathread mbona umekapenda sana? Umeipendea 0713 au kidole au kupizi?Duh una hatari Mushi
Hata sijakapenda kanishangaza tu huyu MushiHaka kathread mbona umekapenda sana? Umeipendea 0713 au kidole au kupizi?
Kwahiyo umempenda Mushi?Hata sijakapenda kanishangaza tu huyu Mushi