Mchepuko kumbe unaimarisha ndoa

Mchepuko kumbe unaimarisha ndoa

bussnes

Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
6
Reaction score
2
Wakati tunaanza mahusiano alikuwa mpole asiyejua mambo mengi kila mara tukiwa faragha sipati madini ikanibidi nitafute mgodi mwingine niwe nachimba madini cha kushangaza baada ya kumwacha kama miezi sita kurudi nilikuta anamaufundi ya hatari mpaka nikipiga shoo naenjoy.
 
Mmmhhhhh...!!!! Alikutana na fundi kamfundisha barabara na hatokuja muacha huyo katu...!!! Kwa ufupi ni ngoma droo...!!! Ulitafuta naye katafuta kapata na kafundishwa....!!! Nadhani imekula kwako kwani utakuwa unaingia katika tope la mwanaume mwenzako...!!! Pole sana kijana...!!!! Lakini ukiwa mjanja kuchapiwa ni.....!!!!!
 
hizi ndio faida za kuchapiwa mkeo au demu wako
 
Dah, yaani wakuu mimi sijawahi kuchepuka na nafikiria kutoharibu kabisa CV yangu.
 
Dah, yaani wakuu mimi sijawahi kuchepuka na nafikiria kutoharibu kabisa CV yangu.

Nimekupenda na nakuombea Mungu uendelee na huo msimamo. Maana cku hzi kuchepuka imekuwa kama fashion ... hakuna cha mzee, mtoto wala kijana ... wote ni malimbukeni kwenye mahusiano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom