Nauza mchele safi kutoka mbeya.
Napatikana Dar Es Salaam- Ilala Bungoni
kwa wateja wa dar es salaam free delivery ukichukua kuanzia kilo 15, mikoani pia tunatuma.
Grade 1 kilo 2,000/=
Grade 2 kilo 1,900/=
Grade 3 kilo 1,800=
Unaweza wasiliana nami kwa namba 0715169679 muda wote katika siku ya juma
Karibu nikuhudumie ndugu mteja