Umslopagazi
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,737
- 935
Went what?
Hii kitu niliipendaga kweliNilianza kumkubali aliposema hivi...
Yoweri Museveni ndie rais Mwenye washauri wengi zaidi kupita marais wote....
Anawashauri 479
Katika hao wengine hawajawahi kumuona..
Na hata wanaemuona yeye ndiye huwa anawashauri.......
Hata mimi niliipenda sana hiiHii kitu niliipendaga kweli
Roma wati?which part of your body is romantic?
What went wrong!?Something went wrong