Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Oct 18, 2012 #1 Mkuu wa Mawaziri wote nchini katika viunga vya Landani na suti yake
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Oct 18, 2012 Thread starter #2 ooooopppsss, afu kwa sasa huenda jamaa anapiga sana TIZI
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Aug 17, 2011 37,448 25,591 Oct 18, 2012 #3 Halafu sura ngumu hata kicheko hamna..
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Oct 18, 2012 Thread starter #4 ...angalia na usafiri wa TUNU PINDA
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Oct 18, 2012 Thread starter #5 Hapa ndio anacheka tedo said: halafu sura ngumu hata kicheko hamna.. Click to expand...
Gogo la choo JF-Expert Member Oct 8, 2012 709 292 Oct 18, 2012 #6 Kuleni nchi tu ikimalizika tutakulana wenyewe kwa wenyewe kama kaa wakiwa kwenye ndoo..!!
kizaizai JF-Expert Member Mar 31, 2010 5,342 6,495 Oct 18, 2012 #8 Naomba kuuliza, mbona wakiwa TZ wanakuwa wamezungukwa na na ma-FFU kila kona ya miili yao, lakini huko Ughaibuni tene mitaani wako weupe bila mapolisi. Je TZ usalama wao ni mdogo?
Naomba kuuliza, mbona wakiwa TZ wanakuwa wamezungukwa na na ma-FFU kila kona ya miili yao, lakini huko Ughaibuni tene mitaani wako weupe bila mapolisi. Je TZ usalama wao ni mdogo?
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Oct 19, 2012 Thread starter #10 itnojec said: kula raha baba Click to expand... huko hajulikani hata kwa balozi wa nyumba kumi
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Oct 19, 2012 Thread starter #11 yuko uk lakn kapiga american suit
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Oct 19, 2012 Thread starter #12 jamani hapa hamjanisoma? Amavubi said: ooooopppsss, afu kwa sasa huenda jamaa anapiga sana TIZI Click to expand...
jamani hapa hamjanisoma? Amavubi said: ooooopppsss, afu kwa sasa huenda jamaa anapiga sana TIZI Click to expand...
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,557 Oct 19, 2012 #13 Amavubi said: Hapa ndio anacheka Click to expand... heeee baba...
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Oct 19, 2012 Thread starter #14 ndetichia said: heeee baba... Click to expand... ndio wewe nini?
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Oct 19, 2012 #15 tedo said: Halafu sura ngumu hata kicheko hamna.. Click to expand... hapo ndo ameshacheka akilazimisha anazimia maana misuli itastuka na kumletea matatizo.
tedo said: Halafu sura ngumu hata kicheko hamna.. Click to expand... hapo ndo ameshacheka akilazimisha anazimia maana misuli itastuka na kumletea matatizo.