Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Nimepigiwa simu na rafiki yangu huko wilaya kasulu akinieleza kuwa mkuu wa wilaya amewatangazia mchango wa ujenzi wa shule kwa kila mwenye miaka 18 na zaidi kulipa sh 5000!Ikifika dead line hujalipa basi utakamatwa na na serikali kisha kutumikishwa kwa siku 14!
Nilipouliza zaidi,nimeambiwa ni agizo toka wizarani!
Tunatumia kodi za wananchi kununua ndege tena tunajisifu kwa cash halafu tunakuja kuwabebesha mzigo wananchi kwa mabavu!!!
Nimebaki kinywa wazi kwa mshangao!
Nilipouliza zaidi,nimeambiwa ni agizo toka wizarani!
Tunatumia kodi za wananchi kununua ndege tena tunajisifu kwa cash halafu tunakuja kuwabebesha mzigo wananchi kwa mabavu!!!
Nimebaki kinywa wazi kwa mshangao!