Mchango! Mchango! Mchango! Wa kumlipia ngasa faini..........

Mchango! Mchango! Mchango! Wa kumlipia ngasa faini..........

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,410
Mashabiki wa yanga tukae tayari kwa mchango wa kumlipia mrisho ngasa faini aliyotozwa na tffffff...tutatoa utaratibu rasmi! stay tuned
 
Ngasa anakiwango cha kuchangiwa pesa ,tatizi anatamaa na pesa za watu tena angepewa adhabu ya 100 mil.
 
lile ni jembe na walai jana lingecheza wanalambalamba wangechezea kichapo kikali sanaaaa
 
Haya mambo ndio yanampa jeuri Ngasa, ndio maana hata akipata timu nje anapuuzia.
 
Bora ametoka Simba, timu isiyokua na uongozi...Rage anatakiwa aelewe kwamba pamoja na kwamba yeye ni Mbunge kupitia CCM Simba kuna wapenzi wasiokuwa na itikadi yake,kitendo cha kukubali mwaliko wa bwana Nchemba siku ya mkutano wa Chadema hakina tofauti na Upuuzi wa Mwana FA kutaka kumhujumu Jide kwa kupanga show ili hali akijua mwenzake alishapanga! Karibu Yanga Ngasa,alafu utulie sasa! Umri unasogea
 
Mashabiki wa yanga tukae tayari kwa mchango wa kumlipia mrisho ngasa faini aliyotozwa na tffffff...tutatoa utaratibu rasmi! stay tuned

huu ni upuuzi!
Mods unganisha hizi thread za ngasa kwani zimekuwa nyingi mno
 
Mashabiki wa yanga tukae tayari kwa mchango wa kumlipia mrisho ngasa faini aliyotozwa na tffffff...tutatoa utaratibu rasmi! stay tuned

Huu ni mpango mzuri sana, Kiasi cha 45,000,000/= kitalipwa na wapenzi 45,000 tu endapo kila mmoja atatoa 1,000/= tu. Nashauri viongozi wa Yanga watupatie namba ya kutuma ujumbe mfano tuma neno 'Ngassa' kwenda namba 15***, mie niko tayari kuchangia kijana arudi dimbani kutumikia klabu aipendayo.
 
Ingawa mimi ni yanga ila huu ni undava yani hela ale yeye kulipa mchangishane kumlipia mweeeh hii ndio bongo yani tunalea kafisadi mweeeh...kwani ye hakujua kama alikua na mkataba na simba na hao waliomsainisha hawakujua ana mkataba na simba ??? Ujinga huu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mambo ya soka la bongo hadi kichefuchefu yaan mchezaji akiwa anachezea simba au yanga anaona ndo kaukata.
 
Back
Top Bottom