Principle girl JF-Expert Member Jul 31, 2014 1,107 1,091 May 24, 2017 #1 Mchanganyiko upi unafaa kwa ajili ya uji wa lishe kwa mama anaenyonyesha?
The conceited JF-Expert Member Apr 4, 2017 429 483 May 30, 2017 #2 mahindi,soya,mchele,ulezi,karafuu pia waweza weka hiliki
Senee JF-Expert Member Nov 16, 2015 954 1,051 Jun 8, 2017 #3 Mahindi, ulezi, soya, mchele, karanga, mtama mweupe, ngano, ufuta Niliambiwa Cocoa inaongeza sana maziwa, used kuchanganya kwenye uji Pia jaribu unga wa mbegu za maboga, kama maziwa machache au si mazito
Mahindi, ulezi, soya, mchele, karanga, mtama mweupe, ngano, ufuta Niliambiwa Cocoa inaongeza sana maziwa, used kuchanganya kwenye uji Pia jaribu unga wa mbegu za maboga, kama maziwa machache au si mazito
Jezebel JF-Expert Member May 7, 2016 218 426 Jun 13, 2017 #4 Vinawekwa kwa ratio gani??? Mfano mchele kilo 2 kwa mahindi kiasi gani, karanga, soya etc?
N NAKWEDE JF-Expert Member Aug 1, 2007 27,971 35,113 Jun 13, 2017 #5 Unga wa muhogo, dagaa na karanga
NZURI PESA JF-Expert Member Mar 25, 2011 5,959 2,938 Nov 21, 2017 #6 Acha kutumia soya TUMIA MCHANGANYIKO HUU: MAHINDI KILO 5 MTAMA MWEUPE KILO 3 NGANO 1/2 KILO BOGA 1