Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Mchangauo wa zawadi za fedha kwa timu shiriki za Ligi Kuu ya NBC - Tanzania Bara kwa msimu wa 2024/2025, ambapo kila timu itapokea zawadi kulingana na nafasi iliyoishika kwenye msimamo wa mwisho wa Ligi. Mambo yanaweza kubadilika kwa Yanga na Simba endapo mchezo wa jioni ya leo Simba akishinda mbele ya Yanga.
Timu Zilizopata Zawadi Kubwa:
1. Young Africans SC (Yanga) – TSh 650,000,000.
2. Simba SC – TSh 300,000,000.
3. Azam FC – TSh 250,000,000.
Timu za Kati:
4. Singida BS – TSh 200,000,000
5. Tabora United – TSh 100,000,000
6. JKT Tanzania – TSh 90,000,000
7. Mashujaa FC – TSh 80,000,000
8. Coastal Union – TSh 70,000,000
9. Namungo FC – TSh 60,000,000
10. KMC – TSh 50,000,000
11. Pamba SC – TSh 45,000,000
12. Dodoma Jiji – TSh 40,000,000
13. Tanzania Prisons – TSh 35,000,000
14. Fountain Gate FC – TSh 30,000,000
Timu Zisizopokea Zawadi:
15. Kagera Sugar – Hakuna fedha iliyotajwa.
16. Kengold – Hakuna kiasi kilichoonyeshwa.
Timu Zilizopata Zawadi Kubwa:
1. Young Africans SC (Yanga) – TSh 650,000,000.
2. Simba SC – TSh 300,000,000.
3. Azam FC – TSh 250,000,000.
Timu za Kati:
4. Singida BS – TSh 200,000,000
5. Tabora United – TSh 100,000,000
6. JKT Tanzania – TSh 90,000,000
7. Mashujaa FC – TSh 80,000,000
8. Coastal Union – TSh 70,000,000
9. Namungo FC – TSh 60,000,000
10. KMC – TSh 50,000,000
11. Pamba SC – TSh 45,000,000
12. Dodoma Jiji – TSh 40,000,000
13. Tanzania Prisons – TSh 35,000,000
14. Fountain Gate FC – TSh 30,000,000
Timu Zisizopokea Zawadi:
15. Kagera Sugar – Hakuna fedha iliyotajwa.
16. Kengold – Hakuna kiasi kilichoonyeshwa.