Mchambuzi: Jayrutty wameingia mkenge kudhamini simba

Mchambuzi: Jayrutty wameingia mkenge kudhamini simba

Kwan wanajihusisha na Nini

Bila shaka jezi ya Simba itakuwa batiki ( matangazo mengi

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
No matter unajihusisha na nini mtu huwezi kuingia kwenye soka kupata fedha directly hizo pesa zina masimango na mashabiki wanahesabu kila pesa inyoingia wewe unachoweza kufanya ni kunufaika kwa publicity au kama ukiwa jambazi kama kina Glaziers kutumia Timu / Brand kunufaika kwa upande mwingine for the detriment ya club (ingawa na hilo linaweza lika backfire mashabiki wakakushambulia).

Kwahio advantage kubwa ni kukuza brand yako; hata mkataba ukiisha ukasema ulikuwa mfadhiri wa Simba utaonekana wewe ni wa kiwango
 
Uyo ndio msomi na mwandishi kutoka chuo Cha AMAZON CORAGE.
Nikukumbushe tu mmiliki wa iyo kampuni ni CPA.....
KAZI ni kipimo cha utu
Nikumbushe tu kuwa mbali na CPA ana Msc In Accounting and Finance kutoka chuo kikuu mzumbe Pia ana MBA....
 
[emoji23][emoji23][emoji23] daaah yawezekana mkuu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Watu wa aina hii wanaamsha soka la bongo watu wanaweka pesa. Asipozinguliwa na wapigaji hizo ahadi zinatekelezeka. Akiwapata watanzania wanasimba 1M wa kununua jezi kwa Tshs 25k ni 25B. Ukitoa expenses hata 15B ndani ya hiyo 10B inayobaki anawapa Simba gawio lao anabaki na angalau 3B kila mwaka za kuendesha maisha yake.

Hilo linawezekana ilimradi viongozi waache uhuni
 
Sijasoma chochote. Yaani nilipoona Jina la Samandambile nilienda kutapika kwanza maana jamaa anazungumza kana kwamba hana ubongo.

Kipindi fulani tulimtimua pale East Africa Radio kwenye kipindi cha kipenga baada ya kugundua kuwa anapochambua anaegemea upande wa UTOPOLO.

Nyambafu sana!!

 
Uyo ndio msomi na mwandishi kutoka chuo Cha AMAZON CORAGE.
Nikukumbushe tu mmiliki wa iyo kampuni ni CPA.....
KAZI ni kipimo cha utu
CPA sasa.
 

Attachments

  • 20250417_112218.jpg
    20250417_112218.jpg
    88.7 KB · Views: 23
Uyo ndio msomi na mwandishi kutoka chuo Cha AMAZON CORAGE.
Nikukumbushe tu mmiliki wa iyo kampuni ni CPA.....
KAZI ni kipimo cha utu
CPA za kibongo zimefanya nini kwenye mapinduzi ya kibiashara za wazawa?
Biashara ngapi zimeroboa na kuvuka mipaka ya nchi?
 
No matter unajihusisha na nini mtu huwezi kuingia kwenye soka kupata fedha directly hizo pesa zina masimango na mashabiki wanahesabu kila pesa inyoingia wewe unachoweza kufanya ni kunufaika kwa publicity au kama ukiwa jambazi kama kina Glaziers kutumia Timu / Brand kunufaika kwa upande mwingine for the detriment ya club (ingawa na hilo linaweza lika backfire mashabiki wakakushambulia).

Kwahio advantage kubwa ni kukuza brand yako; hata mkataba ukiisha ukasema ulikuwa mfadhiri wa Simba utaonekana wewe ni wa kiwango
Ahaa kumbe .....ntawadhamini na mm Ili nipate pisi

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Sijasoma chochote. Yaani nilipoona Jina la Samandambile nilienda kutapika kwanza maana jamaa anazungumza kana kwamba hana ubongo.

Kipindi fulani tulimtimua pale East Africa Radio kwenye kipindi cha kipenga baada ya kugundua kuwa anapochambua anaegemea upande wa UTOPOLO.

Nyambafu sana!!

Hapana mkuu mbna yupo smart sana

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom