MWAKATA KWETU
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 560
- 320
Wanayoyafanya serikali ya ccm,inaniumiza sana toka moyoni kwani kitendo cha serikali ya ccm kujaribu kuleta miswada ya dharura minne kinyemela hii ni kulihujumu taifa.nazidi kusema kura yangu wamepoteza moja kwa moja kupitia sakata hili.makinda na hao waliomtuma kudhibiti wapinzani bungeni ili kulinda ufisadi wao ....tumeliona hilo na wajue kwamba vijana wa tanzania tumejipanga kuing'oa ccm.