Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,221
Kuna jamaa mmoja kutoka kilimanjaro, alitembelea zenji. Katika pilikapilika zake za siku nzima, njaa ilimshika na akaamua kwendi hotelini kupata menyu.
Kwa bahati mbaya alikuwa vyakula vimeisha isipokuwa pilau tu. Kwa vile aliwaona watu wakila na yeye alikuwa hajawahi kula akaamua kuagiza pilau. Kwa kweli ilikuwa tamu sana. Aliporudi Moshi akawahadithia wenzake..
''aisee baba'ngu, nilikwenda zanzibar na kuingia kwenye hoteli moja, nilikuta fyakula fyote fyimekwisha, ila kumebakia wali mshafu(mchafu), wali ulikuwa mshafu lakini mtamu kweli baba'ngu. Nilipopiga kijiko cha kwansa nikakutana na vipande fya mbao(amdalasini) kupiga kya pili nikakutana na mbegu za mpapai (pilipili manga) kupiga fya tatu nikakutana na fimbegu fya bangi(iliki). Baba angu japo wali ulikuwa mshafu lakini ulikuwa mtamuuu, kiruuu''
~Pilau lamtoa ushamba~
Kwa bahati mbaya alikuwa vyakula vimeisha isipokuwa pilau tu. Kwa vile aliwaona watu wakila na yeye alikuwa hajawahi kula akaamua kuagiza pilau. Kwa kweli ilikuwa tamu sana. Aliporudi Moshi akawahadithia wenzake..
''aisee baba'ngu, nilikwenda zanzibar na kuingia kwenye hoteli moja, nilikuta fyakula fyote fyimekwisha, ila kumebakia wali mshafu(mchafu), wali ulikuwa mshafu lakini mtamu kweli baba'ngu. Nilipopiga kijiko cha kwansa nikakutana na vipande fya mbao(amdalasini) kupiga kya pili nikakutana na mbegu za mpapai (pilipili manga) kupiga fya tatu nikakutana na fimbegu fya bangi(iliki). Baba angu japo wali ulikuwa mshafu lakini ulikuwa mtamuuu, kiruuu''
~Pilau lamtoa ushamba~