Mchaga mmoja alidondokea kwenye kisima cha maji akapiga kelele huku anatapatapa, mkewe akaja na kamba mpya akamrushia. Mumewe akauliza; "Umenunua shilingi ngapi?" Mke akamjibu " Buku" akamwabia irudishe, nenda kwa Massawe anauza jero. Fanya fasta nitazama.[/QUOTE
Ngoja wenyewe waje.