Mchaga na Mhaya

Mchaga na Mhaya

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
Mhaya alitangaza anatibu magonjwa yooooooote kwa tsh. 100000/=
Na kama akishindwa kukutibu angekurudishia laki yako nakukuongeza laki nyingine.
Basi MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela akaenda kutibiwa.
MHAYA: unaumwa nini?
MCHAGA: Sina taste kabisa..
MHAYA:Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.
MCHAGA::: Puh puu puu uu si mkojo huu
MHAYA: Umepona karibu tena.

Kesho yake mchaga akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: Nina tatizo la kumbukumbu nasahau sana....
MHAYA: nesi naomba kikopo no.27
MCHAGA: ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA ( MKOJO)
MHAYA: UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.

 
Mhaya alitangaza anatibu magonjwa yooooooote kwa tsh. 100000/=
Na kama akishindwa kukutibu angekurudishia laki yako nakukuongeza laki nyingine.
Basi MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela akaenda kutibiwa.
MHAYA: unaumwa nini?
MCHAGA: Sina taste kabisa..
MHAYA:Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.
MCHAGA::: Puh puu puu uu si mkojo huu
MHAYA: Umepona karibu tena.

Kesho yake mchaga akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: Nina tatizo la kumbukumbu nasahau sana....
MHAYA: nesi naomba kikopo no.27
MCHAGA: ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA ( MKOJO)
MHAYA: UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.


mhaya jawahi kwa mjana kiasi hiki.nway
 
Ruge kwani naye billionaire?maana kila mtu billionaire bongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom