Mch ALPHONCE TEMBA NI TAPELI .ANAPENDA KUWA KARIBU NA KIKWETE NA KUJIPATIA FEDHA ILI AHUJUMU UPINZANI. Alipita kuhamasisha Deci,Makanisani na kutapeli pesa nyingi. Alipita radio Mlimani, praise power ,Times radio,wapo radio,Itv, star tv, n.k na kuwambia watu kuwa Deci ni Mpango wa Mungu.Sasa hapa Tz, yeye hana kanisa hata huko Kibangu hajulikani .Yeye anajulikana kwa utapeli.