GE2025 Mch. Kimondo: kama wanadai wanapendwa na wamefanya mazuri kwanini wanaogopa kufanya reforms?

GE2025 Mch. Kimondo: kama wanadai wanapendwa na wamefanya mazuri kwanini wanaogopa kufanya reforms?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Mchungaji msaafu wa kanisa la KKT Dkt. Steven Kimondo amehoji kwamba kwanini kama chama cha mapinduzi kimekuwa kinasema wametekeleza mambo mengi na wanachama wengi je kwanini wanaogopa kufanya refoms?

Amesisitiza kuwa reforms hizo hazitokinufaisha chama kimoja tu.
 
Swali gumu sana hilo kwa mtu mwenye akili timamu kichwani. Narudia tena "kwa mtu mwenue akili timamu kichwani"
 
Back
Top Bottom