linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,703
- 4,327
uko sawa mkuu, upinzani tuliouzoea huu sio wakati wake. Hata kupinga yanayofaa sio kosa, ila upunge yanayofaa kwa kutuonyesha yele yanayofaa zaidi. Yawezekana jambo linafaa lakini lafanyika na mtu asiyefaa/spidi kali sana isiyona ufanisi/lafaa leo lakini kesho litakuwa na madhara/lafaa lakini linafanyika katika muda usio sahihi/ lafaa lakini lisipofanyika litasababisha kufanyika mengine mengi ambayo faida au kufaa kwake ni kukubwa zaidi.
Hapa ndio maana wapinzani wanapaswa kuupdate opposition style yao. Zama za umaarufu wa kashfa zimepita, leo utakuwa maalufu kwa uwezo wako wa kuinyoosha serikali katika njia bora. Kashfa wawili tu wameonyesha wanaweza kudeal nazo japo kwa hatua ya awali.
Umenena vema mkuu. LIKE