Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Baada ya kuona hatua yake haijaungwa mkono wala kushobkewa hatimaye wafadhili kupitia MCC wameamua kuahirisha mpango wa kuifutia misaada Tanzania na kurejesha kasma stahili huku wakijutia uamuzi wao wa awali
Hata hivyo wameitaka Tanzania kuendelea kutafakari mapingamizi yao juu ya mustakabli wa siasa Tanzania ili waongezewe misaada zaidi
Hata hivyo wameitaka Tanzania kuendelea kutafakari mapingamizi yao juu ya mustakabli wa siasa Tanzania ili waongezewe misaada zaidi