didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 2,055
- 3,436
Wakuu nafanya speculation.. Je ni sehem gan bagamoyo ina opportunity ya kua kama mbweni ijayo.. Kama unajua tafadhali shusha comment hata kama sio b/moyo
Mbweni kunajegwa bilq ya eneo zima kufanyiwa unyoofu...watu wanajenga kwenye mabonde na milima na juu ya vichuguuWakuu nafanya speculation.. Je ni sehem gan bagamoyo ina opportunity ya kua kama mbweni ijayo.. Kama unajua tafadhali shusha comment hata kama sio b/moyo
Shida ni CCM kwenye hii inji. Wanashindwa kabisa kuisimamia serikali kisa tu siasa za wapiga kura wasibugudhiwe.Wilaya ya Bagamoyo imekosa watu smart.
Zinga na. Mapinga ilikua iwe Half Masaki wangeipima na kuweka Utaratibu mzuri wa miundombuni