Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,724
- 165,132
Kama hata mzee Mwinyi na mama Samia walikwenda kumjulia hali Lisu kuna ubaya gani Samatta kwenda kumjulia hali huyo Lisu wako? Acha upuuzi.Tundu Lissu anaenda kulazwa Ubelgiji nchi ambayo mwanasoka wa kimataifa wa kitanzania, Mbwana Samatta anacheza soka(mpira wa muguu).
Swali ni je,mwanasoka huyu maarufu atakwenda kumuona hospitalini mwanasiasa huyu maarufu na ambae ni mtanzania mwenzake?
Iwapo atakwenda kumuona na wakapiga picha ya pamoja, unadhani picha hiyo itasambaa kwa kiasi gani?
Wacha tusubiri.
Kwani kuna ulazima upi wa Samatta kumuona Lisu?Tundu Lissu anaenda kulazwa Ubelgiji nchi ambayo mwanasoka wa kimataifa wa kitanzania, Mbwana Samatta anacheza soka(mpira wa muguu).
Swali ni je,mwanasoka huyu maarufu atakwenda kumuona hospitalini mwanasiasa huyu maarufu na ambae ni mtanzania mwenzake?
Iwapo atakwenda kumuona na wakapiga picha ya pamoja, unadhani picha hiyo itasambaa kwa kiasi gani?
Wacha tusubiri.
kasema wewe msenge umebakwa na nguruwekwani mange kasemaje?
Ukikuaa utaachaTundu Lissu anaenda kulazwa Ubelgiji nchi ambayo mwanasoka wa kimataifa wa kitanzania, Mbwana Samatta anacheza soka(mpira wa muguu).
Swali ni je,mwanasoka huyu maarufu atakwenda kumuona hospitalini mwanasiasa huyu maarufu na ambae ni mtanzania mwenzake?
Iwapo atakwenda kumuona na wakapiga picha ya pamoja, unadhani picha hiyo itasambaa kwa kiasi gani?
Wacha tusubiri.
Chadema mnaelekea ukingoni......muda si mrefu mtasshaulika kabisa na dalili ni mada kama hizi!Tundu Lissu anaenda kulazwa Ubelgiji nchi ambayo mwanasoka wa kimataifa wa kitanzania, Mbwana Samatta anacheza soka(mpira wa muguu).
Swali ni je,mwanasoka huyu maarufu atakwenda kumuona hospitalini mwanasiasa huyu maarufu na ambae ni mtanzania mwenzake?
Iwapo atakwenda kumuona na wakapiga picha ya pamoja, unadhani picha hiyo itasambaa kwa kiasi gani?
Wacha tusubiri.
Chadema wamemtelekeza mzee Kingunge Ngombale Mwiru hawajaonekana kabisa muhimbili bado wako migombani wanakula sikukuu!Kama hata mzee Mwinyi na mama Samia walikwenda kumjulia hali Lisu kuna ubaya gani Samatta kwenda kumjulia hali huyo Lisu wako? Acha upuuzi.
Duh.Chadema wamemtelekeza mzee Kingunge Ngombale Mwiru hawajaonekana kabisa muhimbili bado wako migombani wanakula sikukuu!