Mbwana Samatta azidi kung'aa!! aibeba Tp Mazembe hatua ya makundi

Mbwana Samatta azidi kung'aa!! aibeba Tp Mazembe hatua ya makundi

SELFISH

Senior Member
Joined
Feb 25, 2014
Posts
133
Reaction score
61
Mshambuliaji wa kimataifa watanzania Mbwana Samatta jana aliibeba timu yake ktk hatua ya makundi baraniAfrica baada ya kufunga bao pekee ktk dk 66 baada ya kuunganisha kwa kichwa cross ya mtanzania mwenzake Thomas Ulimwengu.

Mpaka mwisho wa mchezo Tp Mazembe 1 sewe 0.

Pia aliibeba timu yake katika mchezo ulio chezwa Ivory Coast tar 23/03/14 baada ya kufunga bao pekee ktk dk ya 89.

Wakati huo walikua wameshaa fungwa bao 2. mpaka mwisho wa mchezo sewe 2 tp mazembe 1.

Waandishi muwe mnaandika habari za huyu dogo msimbanie.
 
Wamefuzu kwa goli la ugenini, Ivory Coast walifungwa 2 kwa moja na Lubumbashi wameshinda 1 kwa bila. mabao yote funga dogo home dk 66' away dk 89.


selfish
 
Asante sana thomas ulimwengu na mbwana samata kwa kututangaza vema watz
 
Mshambuliaji wa kimataifa watanzania mbwana samatta jana aliibeba timu yake ktk hatua ya makundi barani africa baada ya kufunga bao pekee ktk dk 66 baada ya kuunganisha kwa kichwa cross ya mtanzania mwenzake Thomas ulimwengu. mpaka mwisho wa mchezo Tp mazembe 1 sewe 0. pia aliibeba timu yake katika mchezo ulio chezwa Ivory Coast tar 23/03/14 baada ya kufunga bao pekee ktk dk ya 89. wakati huo walikua wameshaa fungwa bao 2. mpaka mwisho wa mchezo sewe 2 tp mazembe 1. Waandishi muwe mnaandika habari za huyu dogo msimbanie.


selfish

Waandishi wa Tanzania wala usiwategemee mkuu!Wengi wao wangependa kama hao wachezaji wangetokea Yanga.Laiti angetokea Yanga hata angeugua mafua tungejua.Huu uwekezaji wa fedha nyingi wa Yanga kwa wengi wa waandishi wa habari kumewafanya baadhi ya watu nikiwemo mimi binafsi kutonunua magazeti ya michezo siku hizi,unless kama nahitaji kujua habari za ligi za ulaya

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Huyu dogo Samatta wakati sasa umefika anatakiwa apate timu Europe. Asiishie hapo TP Mazembe. Aondoke ASAP
 
samata safi sana....wewe ni mpiganaji i hope siki moja tutakuona anga za epl hasa pale arsenal ambao wanatabu ya kupata mtupiaji kama ww.
 
Waandishi wa Tanzania wala usiwategemee mkuu!Wengi wao wangependa kama hao wachezaji wangetokea Yanga.Laiti angetokea Yanga hata angeugua mafua tungejua.Huu uwekezaji wa fedha nyingi wa Yanga kwa wengi wa waandishi wa habari kumewafanya baadhi ya watu nikiwemo mimi binafsi kutonunua magazeti ya michezo siku hizi,unless kama nahitaji kujua habari za ligi za ulaya

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

I like it
 
Waandishi wa Tanzania wala usiwategemee mkuu!Wengi wao wangependa kama hao wachezaji wangetokea Yanga.Laiti angetokea Yanga hata angeugua mafua tungejua.Huu uwekezaji wa fedha nyingi wa Yanga kwa wengi wa waandishi wa habari kumewafanya baadhi ya watu nikiwemo mimi binafsi kutonunua magazeti ya michezo siku hizi,unless kama nahitaji kujua habari za ligi za ulaya

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Ucpindishe Ukweli... Waandishi Wa Tz Ni Mawakala Wa Naniriii Ile Inatwa.... Nini Vile.. Kwa Mantiki Hiyo Hata Mbwana Afunge Magoli Mia Mechi Moja Hawewezi Wala Hawataweza Kumuandika.! Ila Hiyo Haitabadili Ukweli Kuwa Uongo... (tumia Akili)
 
Waandishi wa kibongo wengiwao ni makanjanja tu.
 
kwani Tanzania kuna mashabiki wangapi wa hiyo TP mazembe mpaka magazeti ya-pay attention kwa kila afanyalo samata?
 
Watu kwa kuponda vya kwao hawajambo!

Mmesahau kua edo alienda lubumbashi na kumuinterview samatta.

Kulikua na makala zaidi ya 8 kumhusu yeye tu tena mfululizo.

Mlitaka iweje zaidi ya hapo?
 
Huyu dogo Samatta wakati sasa umefika anatakiwa apate timu Europe. Asiishie hapo TP Mazembe. Aondoke ASAP

Al shapton mkuu pale Tp mazembe kuna kila kitu ambacho hata ulaya kipo kwa mchezaji kama Mbwana samatta ataendelea kucheza pale kwa kuwa kila hitaji lake linatimizwa ukiacha marupurupu kutoka kwa gavana moise katumbi.
Ulaya jina tu mali zote zipo Africa
 
Al shapton mkuu pale Tp mazembe kuna kila kitu ambacho hata ulaya kipo kwa mchezaji kama Mbwana samatta ataendelea kucheza pale kwa kuwa kila hitaji lake linatimizwa ukiacha marupurupu kutoka kwa gavana moise katumbi.
Ulaya jina tu mali zote zipo Africa

He has to compete with the world's best.
 
bluecolor take time shirikisha akili zako smetme.kichwa usitumie kufugia nywele tu. kama tatizo ni jina mbona kuna thomas naye haandikw? jaman mtu unakosa elimu dunia hata elimu jamii pia unakosa? hukusoma makala za edo kumwembe? yeye edo ni jina gan? usifirisike akil kias hicho mpaka ukatuaibisha na sis tukaonekana wote ni wenye mtindio wa fikra.
 
Back
Top Bottom