Mbwana Samatta azidi kung'aa!! aibeba Tp Mazembe hatua ya makundi

Mbwana Samatta azidi kung'aa!! aibeba Tp Mazembe hatua ya makundi

Kuna watu dini imeharibu kila kitu vichwani mwao.mtu anashangilia yanga kufungwa na alhaly kwa sababu wameshika msahafu huku akisahau mauaji ya Cairo wakati huo msahafu ukiwepo mwingine ataona sawa kwa mtoto kuuliwa Iraq huku akisahau mateso wanayopata watu weusi north Carolina dini isikuzuiwe Kuona kwa usahihi.
 
kwani Tanzania kuna mashabiki wangapi wa hiyo TP mazembe mpaka magazeti ya-pay attention kwa kila afanyalo samata?


Samatta ni mmoja wapo wa wanamichezo watanzania wachache wanaofanya vizuri nje ya nchi na tukumbuke anaitangaza vizuri sana Tanzania. TP Mazembe hawana mashabiki wengi Tanzania lakini Samatta kama Samatta (mchezaji bora kuliko wote Tanzania) ana mashabiki wengi nchini kwa hiyo watanzania wana haki ya kupata habari zake na wanahabari wana wajibu wa kiuzalendo wa kumtangaza kijana anapofanya vizuri.
 
Rais TFF malinzi jamal banana na samatta na Ulimwengu wape motisha watakubeba CHAN,World Cup hawa wanajua kazi ni nini.
 
Back
Top Bottom