pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,660
- 13,719
Sio kweli mkuu, kuna roho chafu (wachawi, vibwengo) wanaona. Nakuhakikishia.Kisayansi, ukiacha binadamu, mbwa ni kati ya wanyama wanaofuatia kwa akili nyingi hivyo nadhani wanamrudishia Mola utukufu wake! Mbona hujauliza ndege? Maana muda huohuo ndege nao hupiga kelele kushangilia siku mpya mbona hujauliza hilo?