Jephta2003 JF-Expert Member Joined Feb 27, 2008 Posts 6,722 Reaction score 6,593 Apr 23, 2017 #1 Napatikana Kibamba Dar, mbwa aliyeko kwenye picha anauzwa, ana miezi 8,ameshapata chanjo zote, call me/wasap 0713228915
Napatikana Kibamba Dar, mbwa aliyeko kwenye picha anauzwa, ana miezi 8,ameshapata chanjo zote, call me/wasap 0713228915
Tayukwa JF-Expert Member Joined Dec 11, 2014 Posts 2,180 Reaction score 4,422 Apr 23, 2017 #3 Umesahau kuweka vitu viwili muhimu sana katika tangazo lako, Je unavijua?
Ethical Ninja CEH JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 3,695 Reaction score 5,052 Apr 23, 2017 #4 Kwanini unamfunga huo mchuma chuma shingoni ? Wakati kuna mikanda maalumu ya kufungia ? Ebu muwe na huruma kha!
Kwanini unamfunga huo mchuma chuma shingoni ? Wakati kuna mikanda maalumu ya kufungia ? Ebu muwe na huruma kha!
christelly JF-Expert Member Joined Dec 29, 2016 Posts 1,462 Reaction score 1,466 Apr 23, 2017 #5 Koko /mkali????
umerogwa wewe JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 417 Reaction score 566 Apr 23, 2017 #6 bei gani Sent from my EVA-L09 using JamiiForums mobile app
mdukuzi JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 22,312 Reaction score 55,971 Apr 23, 2017 #7 kabila,jinsia,mkali au koko,bei?
BRN JF-Expert Member Joined Nov 18, 2013 Posts 5,346 Reaction score 6,841 Apr 23, 2017 #8 Ethical Ninja CEH said: Kwanini unamfunga huo mchuma chuma shingoni ? Wakati kuna mikanda maalumu ya kufungia ? Ebu muwe na huruma kha! Click to expand... Umeona mkuu...ila hata mimi wakwangu nimemfunga hivyo..huku mkoani niliko nimetafuta huo mkanda maalumu nimekosa.
Ethical Ninja CEH said: Kwanini unamfunga huo mchuma chuma shingoni ? Wakati kuna mikanda maalumu ya kufungia ? Ebu muwe na huruma kha! Click to expand... Umeona mkuu...ila hata mimi wakwangu nimemfunga hivyo..huku mkoani niliko nimetafuta huo mkanda maalumu nimekosa.
Ethical Ninja CEH JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 3,695 Reaction score 5,052 Apr 23, 2017 #9 BRN said: Umeona mkuu...ila hata mimi wakwangu nimemfunga hivyo..huku mkoani niliko nimetafuta huo mkanda maalumu nimekosa. Click to expand... Agizia hata Dar es Salaam mkuu !
BRN said: Umeona mkuu...ila hata mimi wakwangu nimemfunga hivyo..huku mkoani niliko nimetafuta huo mkanda maalumu nimekosa. Click to expand... Agizia hata Dar es Salaam mkuu !
Mwana Mtoka Pabaya JF-Expert Member Joined Apr 22, 2012 Posts 15,117 Reaction score 16,500 Apr 23, 2017 #10 BRN said: Umeona mkuu...ila hata mimi wakwangu nimemfunga hivyo..huku mkoani niliko nimetafuta huo mkanda maalumu nimekosa. Click to expand... Nenda tu kwa fundi viatu atakutengenezea.
BRN said: Umeona mkuu...ila hata mimi wakwangu nimemfunga hivyo..huku mkoani niliko nimetafuta huo mkanda maalumu nimekosa. Click to expand... Nenda tu kwa fundi viatu atakutengenezea.
ymollel JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 3,095 Reaction score 2,291 Apr 23, 2017 #11 Tayukwa said: Umesahau kuweka vitu viwili muhimu sana katika tangazo lako, Je unavijua? Click to expand... ..Bei ..Aina Ya Mbwa (specifications) ..Hadaiwi vibali??😉😉
Tayukwa said: Umesahau kuweka vitu viwili muhimu sana katika tangazo lako, Je unavijua? Click to expand... ..Bei ..Aina Ya Mbwa (specifications) ..Hadaiwi vibali??😉😉
BRN JF-Expert Member Joined Nov 18, 2013 Posts 5,346 Reaction score 6,841 Apr 23, 2017 #12 Ethical Ninja CEH said: Agizia hata Dar es Salaam mkuu ! Click to expand... Sawa mkuu
BRN JF-Expert Member Joined Nov 18, 2013 Posts 5,346 Reaction score 6,841 Apr 23, 2017 #13 Mwana Mtoka Pabaya said: Nenda tu kwa fundi viatu atakutengenezea. Click to expand... ahsante kwa ushauri
Mwana Mtoka Pabaya said: Nenda tu kwa fundi viatu atakutengenezea. Click to expand... ahsante kwa ushauri
Jongwe JF-Expert Member Joined Apr 25, 2008 Posts 1,040 Reaction score 666 Apr 23, 2017 #14 Ethical Ninja CEH said: Kwanini unamfunga huo mchuma chuma shingoni ? Wakati kuna mikanda maalumu ya kufungia ? Ebu muwe na huruma kha! Click to expand... Kamuokota , huyu si mfugaji.
Ethical Ninja CEH said: Kwanini unamfunga huo mchuma chuma shingoni ? Wakati kuna mikanda maalumu ya kufungia ? Ebu muwe na huruma kha! Click to expand... Kamuokota , huyu si mfugaji.
avogadro JF-Expert Member Joined Apr 30, 2013 Posts 8,608 Reaction score 15,415 Apr 23, 2017 #15 Tayukwa said: Umesahau kuweka vitu viwili muhimu sana katika tangazo lako, Je unavijua? Click to expand... Invitation to treat huwa haiitaji sana vitu hivyo, waweza kuvitaja wewe na kumshawishi yeye kukubaliana navyo.
Tayukwa said: Umesahau kuweka vitu viwili muhimu sana katika tangazo lako, Je unavijua? Click to expand... Invitation to treat huwa haiitaji sana vitu hivyo, waweza kuvitaja wewe na kumshawishi yeye kukubaliana navyo.
Jephta2003 JF-Expert Member Joined Feb 27, 2008 Posts 6,722 Reaction score 6,593 Apr 24, 2017 Thread starter #16 avogadro said: Invitation to treat huwa haiitaji sana vitu hivyo, waweza kuvitaja wewe na kumshawishi yeye kukubaliana navyo. Click to expand... Uko right mkuu
avogadro said: Invitation to treat huwa haiitaji sana vitu hivyo, waweza kuvitaja wewe na kumshawishi yeye kukubaliana navyo. Click to expand... Uko right mkuu
Jephta2003 JF-Expert Member Joined Feb 27, 2008 Posts 6,722 Reaction score 6,593 Apr 24, 2017 Thread starter #17 Tayukwa said: Umesahau kuweka vitu viwili muhimu sana katika tangazo lako, Je unavijua? Click to expand... Nikumbushe kaka
Tayukwa said: Umesahau kuweka vitu viwili muhimu sana katika tangazo lako, Je unavijua? Click to expand... Nikumbushe kaka
black chinese JF-Expert Member Joined Aug 1, 2016 Posts 1,148 Reaction score 1,229 Apr 24, 2017 #18 Niko Iringa.. unaweza kumtuma kwenye basi?
mommythebest JF-Expert Member Joined Oct 22, 2015 Posts 516 Reaction score 617 Apr 24, 2017 #19 Mkuu tafadhali ni mbwa specie gani huyo? Na bei yake shingapi? Ili kama mtu anakuja anakuja moja kwa moja akijua details muhimu. Am interested.. Weka details
Mkuu tafadhali ni mbwa specie gani huyo? Na bei yake shingapi? Ili kama mtu anakuja anakuja moja kwa moja akijua details muhimu. Am interested.. Weka details
ymollel JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 3,095 Reaction score 2,291 Apr 24, 2017 #20 black chinese said: Niko Iringa.. unaweza kumtuma kwenye basi? Click to expand... Utamlipia Seat kwenye Basi?
black chinese said: Niko Iringa.. unaweza kumtuma kwenye basi? Click to expand... Utamlipia Seat kwenye Basi?