Mbuzi aina ya East Africa

Mbuzi aina ya East Africa

Joined
Apr 15, 2019
Posts
14
Reaction score
4
Wakulima wanaweza kupata pesa kuuza watoto, mbuzi, maziwa na ngozi kwa ajili ya bidhaa za ngozi, na usindikaji maziwa jibini na mtindi.

Hawa ni mbuzi wenye asili ya Africa mashariki, maranyingi hufugwa kwajili ya uzalishaji wa nyama.

Ukihitaji aina hii ya Mbuzi wasiliana nasi kupitia

Simu:
+255 712 253 102(WhatsApp)
+255 765 291 489
+255 625 994 023

Email:
mifugotz@gmail.com

@mifugo_tz
@kilimo_tz
@afyakiganjani

#mifugo #mifugotz #kilimotz #kilimo #drkessyvet #ufugaji #kuku #broiler #tanzania #incubator #kuroiler #sasso #mbuzi #tanzania #bata #kuchi #kilimoufugaji #mwanza #arusha #mbeya #kilimanjaro #sungura #vifaranga #daktariwamifugo #afyakiganjani
goats-11.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka bei. Unafanya biashara ya siri, wakati umeitangaza!

Weka wazi uone results usiogope biashara ya halali.
 
Back
Top Bottom