Mbunge wangu wa Tabora Kaskazini

Malyenge

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
6,658
3,646
Juzi nilikuwa jimbo la Tabora kaskazini. Hali ya jimbo ni nzuri lakini wananchi wanakulalamikia huwajali wala huna msaada nao.
Jirekebishe.
 
Juzi nilikuwa jimbo la Tabora kaskazini. Hali ya jimbo ni nzuri lakini wananchi wanakulalamikia huwajali wala huna msaada nao.
Jirekebishe.
Hali ya jimbo ni nzuri ila hawajali,sasa kama jimbo hali ni nzuri kipi wanataka zaidi?,nafikiri wanataka awape na pesa za matumizi,haiwezekani!
 
Back
Top Bottom