labda atarudi tena kujazia jazia nyama uzi wake!Ndio umemaliza hapo!?
Haka ni kaUzi sio Uzi.
Hali ya jimbo ni nzuri ila hawajali,sasa kama jimbo hali ni nzuri kipi wanataka zaidi?,nafikiri wanataka awape na pesa za matumizi,haiwezekani!Juzi nilikuwa jimbo la Tabora kaskazini. Hali ya jimbo ni nzuri lakini wananchi wanakulalamikia huwajali wala huna msaada nao.
Jirekebishe.
Si urudie tu kuipost hapa hapo sio kama kauzi kapya tukaona kalivo chakachuliwaMods wamechakachua. Mimi niliandika tofauti na walivyohariri.