Chimemena JF-Expert Member Feb 25, 2011 1,376 452 Aug 13, 2015 #1 Mbunge wa viti maalumu (CCM) Maria Salungi akichangia maada kuhusiana na kijana anajitambuaje katika kuhamasika kupiga kura Oktoba 25 mwaka huu ili waweze kumchagua kiongozi wanae mtaka, kwa kuwa baadhi ya vijana ni mara yao ya kwanza upiga kura. Source: MATUKIO-MICHUZI
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Maria Salungi akichangia maada kuhusiana na kijana anajitambuaje katika kuhamasika kupiga kura Oktoba 25 mwaka huu ili waweze kumchagua kiongozi wanae mtaka, kwa kuwa baadhi ya vijana ni mara yao ya kwanza upiga kura. Source: MATUKIO-MICHUZI
Bigjahman JF-Expert Member Jan 5, 2011 842 421 Aug 13, 2015 #3 Duh tangia lini uyu sister akawa na cheo icho?au uchaguzi tayari
M mwita ke mwita JF-Expert Member Aug 13, 2010 7,848 3,483 Aug 13, 2015 #7 mwandishi vipi, umepita gongoni nini