Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
<br />Anasema ugomvi mkubwa wa watu wa Tarime ni ardhi na ugomvi wa juzi ulisababishwa na chama fulani ambacho kilidhani kina hati miliki ya Tarime.
<br />
Hope ni NYAMBARI NYANGWINE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Anasema ugomvi mkubwa wa watu wa Tarime ni ardhi na ugomvi wa juzi ulisababishwa na chama fulani ambacho kilidhani kina hati miliki ya Tarime.
we bwe.ge nini? Unadhani waliompigia kura huyo Mbunge ni wakurya tu? Pelekeni pumba zenu za ubaguzi kwenye vikao vyenu vya kuvuana magamba. Au hujui kila raia wa Tanzania yupo huru kuishi popote?
Kwani umeambiwa ukitengeneza meli ndo unakua msomi? Does it mean kila msomi duniani lazima atengeneze meli kuthibitisha usomi wake? hebu fikiri vizuri kabla hujachangia hoja yoyote hapa jamvini..
sura ka bibi yako!we huelewi kwamba elimu yadarasani nimuhimu kuliko yakuzaliwa? sura ka chenge!
mkuu umeshindwa kuelewa pumba za huyo mbunge wako, tanzania ni moja, john mnyika ni msukuma lakini ni mbunge kwenye jimbo la wazaramo, umenipata hapo?
Gunz in the air jibu hoja sio kulopoka kama wapiga debe wa ubungo wanaJF tunabishana kwa hoja sio kwa matusi hatakusaidia jifunze kujenga hoja.
huyo nyangwine hajui kuwa aliyelinda maiti ni Mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania, na Tarime ni eneo la JMT?
haha....mshashikwa makalio!
hili jamaa ni pumba tupu yaani akili imechanganyika na maji... ndo maana mi nilikuwa nalipigisha magoti assembly kule Mkwawa secondary...