huko kwenu vipi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 1,540
- 1,475
Habari wanajamvi.....
Huyu mbunge aliwahi kulalamika Bungeni kuwa alitishiwa na Bwana yule na anaogopa hata kwenda Dar es saalam,akitoka Dodoma n moja kwa moja hadi jimboni kwake bila kujiburudisha kidogo pale dar es saalam.....
Juzi alionekana ikulu wakati spika anakabidhi ripoti ya kamati ya almasi na tanzanite kwa Mh Rais......
Je alifikaje dar?? je bwana yule aliyemtishia hakuwepo Dar es saalam Siku ile?????
Ujasiri wa kwenda Dar ameutoa wap????
Huyu mbunge aliwahi kulalamika Bungeni kuwa alitishiwa na Bwana yule na anaogopa hata kwenda Dar es saalam,akitoka Dodoma n moja kwa moja hadi jimboni kwake bila kujiburudisha kidogo pale dar es saalam.....
Juzi alionekana ikulu wakati spika anakabidhi ripoti ya kamati ya almasi na tanzanite kwa Mh Rais......
Je alifikaje dar?? je bwana yule aliyemtishia hakuwepo Dar es saalam Siku ile?????
Ujasiri wa kwenda Dar ameutoa wap????