Bururu
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 877
- 583
Inasikitisha sana Mjini Nyarugusu Geita hakuna Umeme siku 5 mji mzima na hakuna hatua zozote au juhudi za Umeme kuwaka.
Update; 12/12/2018
Tanesco Geita hakuna umeme Nyarugusu yote kwa mda wa siku 9 na ni mji wa kibiashara,Ni hasara kwa wafanyabiashara,Wenye kaya zao pamoja na Usalama wa Raia kwa jumla.Wahusika mko wp??
Update; 12/12/2018
Tanesco Geita hakuna umeme Nyarugusu yote kwa mda wa siku 9 na ni mji wa kibiashara,Ni hasara kwa wafanyabiashara,Wenye kaya zao pamoja na Usalama wa Raia kwa jumla.Wahusika mko wp??