Oooh masikini Mbunge Charles Kitwanga.Naibu Waziri na Mbunge wa Misungwi Charles "mawematatu", amefiwa na mtoto wake wa kiume kwa ajali ya gari hapa Mwanza. Vedastus Kitwanga amekutwa na mauti jumamosi. Mazishi ni kesho nyumbani,kwake Misungwi. Bwana ametoana bwana ametwaa.
Nahisi Chama Cha Magamba.Ni wa chama gani?
Khaa akili nyingine bana. Yaani huwezi kucomment au ujue ni wa chama gani?? Acha ujinga msiba hauna chama banaNi wa chama gani?
R.I.P mbunge wa Misungwi! Kwa hiyo jimbo liko wazi! Pole Veda kwa msiba wa mzee wako.
Dogo Maisha yakikushinda achana nayo, fanya mambo mengine. Ebo!Khaa ndiyo mawazo ya majobless wengi. Mtasubiri hadi mtazeeka mkiwa makapuku. Tafuteni kazi nyingine mfanye ebo!
Khaa akili nyingine bana. Yaani huwezi kucomment au ujue ni wa chama gani?? Acha ujinga msiba hauna chama bana
Nahisi Chama Cha Magamba.
Ooh okay. ..ngoja niwape pole magamba. .."poleni magamba, poleni wafiwa, poleni policcm!
Inatuhusu Nini Sisi? Bora gamba moja limepungua!
Kuuliza si ujinga