Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mbunge wa mbozi Pascal Haonga kupitia tiketi ya (Chadema) alivyopokelewa na wauza mboga. matunda. nyanya.. tembele. mchicha.. wajasilia mali wote wakipinga manyanyaso yanayo tokana na vitambulisho vya ujasilia mali .. Watu wanateswa sana kupitia vitambulisho hivi.