PostGE2025 Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Chipando 'Baba Levo' akiwa nje ya Bunge

PostGE2025 Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Chipando 'Baba Levo' akiwa nje ya Bunge

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Wakuu...

Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Chipando (Baba Levo) kupitia instagram yake amepost video akiwa nje ya Bunge akionyesha sehemu yake mpya ya kazi.

Unadhani atakuwa mbunge wa aina gani?
 
Wakuu...

Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Chipando (Baba Levo) kupitia instagram yake amepost video akiwa nje ya Bunge akionyesha sehemu yake mpya ya kazi.

Unadhani atakuwa mbunge wa aina gani?
Hahahaha... mwenzako alishawahi kuwa Diwani huko Kigoma hivyo amepata cheo!! Chezea Waha wewe!! 🤣🤣🤣
 
Hahaa .....ngoja Bunge lianze....Futuhi warudi kambini wajipange upya.
 
CCM imedhihirisha kuwa ni ya wananchi wote. Zitto pamoja na mbwembwe zote kaangukia pua
 
Bunge la Comedians , hawa ndio tunaotegemea watutungie Sheria na Sera pamoja na kumshauri Rais.

Hasara kubwa Sana hii hakika
 
Back
Top Bottom