KingKacha
Senior Member
- Jun 15, 2016
- 118
- 119
Nauliza yule mbunge wa jumbo la Kalenga ambaye alichaguliwa baada ya baba yake kuaga dunia yupo wapi?
Bungeni hasikiki tena ni kijana kabisa
Jimboni haonekani tena ana nguvu kabisa
Ahadi alizoahidi hatekelezi
Madiwani hawana majibu kuhusu yeye.
Labda namuonea naomba taarifa zake
Bungeni hasikiki tena ni kijana kabisa
Jimboni haonekani tena ana nguvu kabisa
Ahadi alizoahidi hatekelezi
Madiwani hawana majibu kuhusu yeye.
Labda namuonea naomba taarifa zake