JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 217
Ndugu wanajf habari? Naombeni kwa mtu yeyote mwenye namba ya simu ya mbunge wa Ilala, Mh. Mussa Zungu ani-pm! P'se. Namba yake binafsi, siyo ya ofisi.
Eti nanyie mnajiita Great Thinker, mwenzenu anomba namba mnaanza kupiga soga. Mwenye nayo ampatie mwenzetu yawezekana ana swala la msingi na huyo Mheshimiwa
Eti nanyie mnajiita Great Thinker, mwenzenu anomba namba mnaanza kupiga soga. Mwenye nayo ampatie mwenzetu yawezekana ana swala la msingi na huyo Mheshimiwa