Mbunge wa Viti Maalum Mh. Conchesta Rwamulaza - CHADEMA leo hii jioni amefungua matawi ya chama hicho kwenye Kata za Rubafu na Kishanje zilizopo jimbo la uchaguzi Bukoba Vijijini
Pamoja na mvua kubwa iliyonyesha kuanzia asubuhi wanachama wa CHADEMA wa kijiji Katale kilichoko Kata Rubafu walihudhuria kwa wingi na kuwapongeza viongozi walioambatana na Mbunge, Kamanda IKENGYA na viongozi wa chama wa Kata hizo kwa kuvunja mwiko wa CCM ambayo kwa miaka 50 haijawahi kuwa na ofisi rasmi ya Tawi.
Katika Kijiji cha Kishanje mkutano mkubwa zaidi ya wanachama na wananchi mia sita walijitokeza kwenye mkutano huo ambapo ofisi ya Tawi ilifunguliwa na viongozi Mbunge pia viongozi walihutubia.
Kwa miaka yote ya utawala wa CCM kati ya vijiji 16 vilivyopo kwenye Tarafa Bugabo ni vijiji viwili vyenye ofisi za CCM za matawi vijiji vingine ofisi za watendaji ndizo hugeuzwa ofisi za CCM.
CHADEMA wameonyesha njia na kukubaliwa kwa wananchi wanyonge wa vijijini, wamechoka na CCM wanataka ukombolewa, mkombozi wao ni CHADEMA.
Kata za Kishanje na Rubafu zimekamilisha zoezi la ufunguzi wa matawi kwenye Vijiji vyao, vijiji vyote sita vimefungua matawi Kyamalange, Katale na Rubafu (Kata Rubafu) Bushasha, Bumai na Kishanje (Kata Kishanje)
Muda huu tupo njiani tunarudi mjini Bukoba.
Pamoja na mvua kubwa iliyonyesha kuanzia asubuhi wanachama wa CHADEMA wa kijiji Katale kilichoko Kata Rubafu walihudhuria kwa wingi na kuwapongeza viongozi walioambatana na Mbunge, Kamanda IKENGYA na viongozi wa chama wa Kata hizo kwa kuvunja mwiko wa CCM ambayo kwa miaka 50 haijawahi kuwa na ofisi rasmi ya Tawi.
Katika Kijiji cha Kishanje mkutano mkubwa zaidi ya wanachama na wananchi mia sita walijitokeza kwenye mkutano huo ambapo ofisi ya Tawi ilifunguliwa na viongozi Mbunge pia viongozi walihutubia.
Kwa miaka yote ya utawala wa CCM kati ya vijiji 16 vilivyopo kwenye Tarafa Bugabo ni vijiji viwili vyenye ofisi za CCM za matawi vijiji vingine ofisi za watendaji ndizo hugeuzwa ofisi za CCM.
CHADEMA wameonyesha njia na kukubaliwa kwa wananchi wanyonge wa vijijini, wamechoka na CCM wanataka ukombolewa, mkombozi wao ni CHADEMA.
Kata za Kishanje na Rubafu zimekamilisha zoezi la ufunguzi wa matawi kwenye Vijiji vyao, vijiji vyote sita vimefungua matawi Kyamalange, Katale na Rubafu (Kata Rubafu) Bushasha, Bumai na Kishanje (Kata Kishanje)
Muda huu tupo njiani tunarudi mjini Bukoba.