Huyo jamaa hata akifungwa sidhani kama kuna mtu atasikitika, maana amekuwa pupet wa waburushi walitunyang'anya mashamba yetu wazawa huko mbarari na kuendelea kulamba masaburi ya akina Muula. Hajawahi kumsaidia mlala hoi hata mara moja. Hebu ngoja aachie hicho kiti wenye nchi tuchukue na kurudishiwa rasilimali zetu kupitia Peopleeeeeez Poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeerrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!!!!!