Rumishaeli
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 227
- 72
Aliupata ubunge kwa njia isivyo halali, kwani kila mmoja anajua kua matokeo yalitangazwa baada ya mamvi kwenda kumsaidia, kwani mtoto wake kamuoa mtoto wa mamvi. Sasa Mungu anafanyia kazi fitna na sasa anakaribia faili lake, siku sii nyingi tutaimba. ''Siii mbaliiiii''