hii ni dalili ya
1.baadhi ya wana ccm wanaanza kuona nuru/ukweli na kuukataa uongo hadharani
2. huu ni mchakato wa kufikia maamuzi ambayo hata jk,ccm na serikali yake wanaweza wakashangaa
mwanadamu hudanganywa mara moja lakini akiujua ukweli huwezi kumdanganya tena