Mbunge: SGR itajengwa kwa miaka 81

Huduma ipi iliyoshindwa kupelekwa?

Huyu naye ni mjinga mjinga
 
mfumo mwingine ni wa kushirikisha sekta binafsi kumiliki hiyo reli TRC waweza uza hisa mfano kwa halmashauri na makampuni binafsi ya ndani na kwa watanzania au waweza tumia mfumo wa build and operate ila wasipewe watu wa nje.Iwe kwa watanzania tu

Bakheresa Uganda mbona kashika reli hata hapa anaweza
 
Magufuli alikuwa na laana!
Angekuwepo Magufuli huo huo mradi ungekamilika kwa muda mfupi .Ardhi ya Dar mpaka morogoro ina changamoto nyingi kwanza ni mchanga ardhi yake sio ngumu pili ni mito mingi na ardhi tope nyingi lakini ukitoka morogoro ukiingia Dodoma kwenda mbele ardhi ngumu unaenda spidi ya kufa mtu kujenga
Huyo mbunge hayuko sahihi hakuangalia hali ya ardhi alipofanya hizo calculations anafikiri ardhi zote ziko sawa na kipande hicho cha morogoro na Dar

Magufuli alikomaa waanze kwanza sehemu korofi kipande cha Dar na Morogoro akijua wakimaliza hicho huko mbele itakuwa spidi kali ya ujenzi
 
Sasa angekuwepo Magufuli mradi ungekamilika kwa muda mfupi kivipi wakati Magufuli alikuwa ni fisadi,mwizi na mzembe wa kusimamia rasilimali za uma?Umesoma ripoti ya CAG?Umeona jinsi alivyokuwa anaficha hasara ambayo ATCL ilikuwa inatengeneza na kutangazia uma kuwa ATCL inatengeneza faida lukuki?
 
Nipeni "Reuben Kwagilwa" awe mbunge wenu hapa Handeni mjini.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…