PreGE2025 Mbunge Samizi atoa Mabati 200 Ujenzi wa Soko la Mabamba kusaidia Wananchi

PreGE2025 Mbunge Samizi atoa Mabati 200 Ujenzi wa Soko la Mabamba kusaidia Wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
3,119
Reaction score
1,428
Dkt. Florence George Samizi, Mbunge wa Muhambwe tarehe 19 June 2025 amekabidhi Bati 200 Soko la Mabamba lililoezuka Tarehe 8/02/2024 baada ya kuwa lilikuwa limechoka Tangu kujengwa Mwaka 1983.

Ambapo amekili kupokea Bati hizo AFISA Mtendaji wa Kata ya Mabamba-Paschal Ngendabanka, wakiwepo viongozi wa Chama cha Mapinduzi Kata ya Mabamba, wananchi wa Kata ya Mabamba pamoja na Mhe. Diwani ambae alikuwa na Mkutano wa hadhara wa kuwashukuru wananchi wa Kata hiyo ya Mabamba waliompa ridha ya kuwawakilisha kwa miaka mitano.

Na ikumbukwe kuwa Mhe. Samizi Mbunge wa Muhambwe toka alipongia madarakani Muhambwe ni Mbunge ambae amekuwa akitatua kero mbalimbali ndani ya Jimbo lake.

WANANCHI WA MABAMBA WAHIDI KUMPA KURA ZA KISHINDO SAMIZI NA SHEDRACK CHONGERA-DIWANI WA KATA YA MABAMBA.

WhatsApp Image 2025-06-20 at 11.39.05.jpeg
 
Wilaya za Kibondo na Kasulu, zaidi ya 85% ya viongozi wa kisia ni Wanawake. Wanaume kazi yao ni majungu tu
 
Wajinga ndio waliwao.... Soko linaezekwa wakati nyumba zao zinabakia kuwa duni..... NRNE haiepukiki !! 🤔
 
Mwenzake Samia anagawa baiskeli, kwann yeye asigawe pump za kujazia upepo kwenye baiskeli? Anapoteza hela bure kununua mabati.
 
Dkt. Florence George Samizi, Mbunge wa Muhambwe tarehe 19 June 2025 amekabidhi Bati 200 Soko la Mabamba lililoezuka Tarehe 8/02/2024 baada ya kuwa lilikuwa limechoka Tangu kujengwa Mwaka 1983.

Ambapo amekili kupokea Bati hizo AFISA Mtendaji wa Kata ya Mabamba-Paschal Ngendabanka, wakiwepo viongozi wa Chama cha Mapinduzi Kata ya Mabamba, wananchi wa Kata ya Mabamba pamoja na Mhe. Diwani ambae alikuwa na Mkutano wa hadhara wa kuwashukuru wananchi wa Kata hiyo ya Mabamba waliompa ridha ya kuwawakilisha kwa miaka mitano.

Na ikumbukwe kuwa Mhe. Samizi Mbunge wa Muhambwe toka alipongia madarakani Muhambwe ni Mbunge ambae amekuwa akitatua kero mbalimbali ndani ya Jimbo lake.

WANANCHI WA MABAMBA WAHIDI KUMPA KURA ZA KISHINDO SAMIZI NA SHEDRACK CHONGERA-DIWANI WA KATA YA MABAMBA.

Naona samizi ameshakupa buku7 yako
 
Back
Top Bottom