Aseee......kwahiyo JKT ndo wanafundishwa viapo na umuhimu wa Amiri Jeshi, na kwamba hakuna sehemu nyingine ambapo anaweza kujifunza wala kufahamu mambo hayo isipokuwa JKT ya wiki 3?
Angeenda JKT akatoka ukimuuliza "je, unataka kanda ya kaskazini ijitenge?" ungeona jibu atakalotoa.
Na ukimuuliza "je, unataka kumkataza Rais asikanyage Arusha?" ungeona majibu yake mapya.
Aseee......kwahiyo JKT ndo wanafundishwa viapo na umuhimu wa Amiri Jeshi, na kwamba hakuna sehemu nyingine ambapo anaweza kujifunza wala kufahamu mambo hayo isipokuwa JKT ya wiki 3?
Angeenda JKT akatoka ukimuuliza "je, unataka kanda ya kaskazini ijitenge?" ungeona jibu atakalotoa.
Na ukimuuliza "je, unataka kumkataza Rais asikanyage Arusha?" ungeona majibu yake mapya.
This is highly - that is to say shamefully- condescending and presumptive, coming from the monopolistic granddaddy of unorthodox condescension and presumptuousness.
Nimefurahishwa sana na Nasari kwa sababu.
1. Hajaona aibu kubadili mawazo.
2. Hajaona aibu ku sit out JKT.
Whatever - and however cowardly, which is not farfetched- his reasons.
Nassari amekuwa jimboni muda wote, fuatilia status yake ya FB.
Mfano ni mikutano ya wananchi aliyofanya vijijini, angalia link hii kwa mfano. Acha urongo magamba.