Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,276
- Thread starter
- #41
QI yako iko below zero ndio maana hukuweza kung'amua kuwa thread hii zipo hapa JF kila siku.Wewe unamuandikia nape kwani we we pekee huwezi kujiongoza?ni aibu sana Ku coly na Ku paste alichoandika MTU,tumia akili yako na sii kusubiri wenzio wakusaidie
Inamaana kesho kwenye magazeti kukiwa na habari hii watakuwa wamemuandikia Nape?