Mbunge mwenye elimu ndogo kuliko wote Tanzania

Huyu Jah People ametajwa sana, mwenye picha tafadhali aibandike tumkumbuke na tumpongeze kwa jitihada za kuingia mjengoni na kuweza kutoa hoja na wenye PhD.
 
Ni mengi sana kiongozi ila huwa hayasemwi na kwa serikali ya ccm,tangia walipoamua kumpitisha kikwete kugombea uraisi bila sifa, wakafuta habari ya kuchunguza taarifa za mgombea.

Ikawa mwenye rushwa, ruksa.
Mwenye makundi, ruksa.
Anayetisha zaidi kwamba hata viongozi wanamwogopa, ruksa.

Hii ndiyo ccm



Duu kumbe kuna mengi nyuma ya pazia!
 
Jah Pipo darasa la pili hakumaliza jamani. Alipoingia la pili, walipoenda Easter Midterm, hakukanyaga tena darasani hadi sasa!. Utasemaje ana elimu ya darasa la pili ikiwa hata term ya kwanza ya darasa la pili hakumaliza??????

Eliminating ujinga wako hata wewe huku soma hata kuandika hujui jee tukukataze kuingia jf?
 
Hivi mnajua ni mbunge gani na wa jimbo lipi kwenye bunge la Tanzania ambaye anaoongoza kwa kuwa na elimu ndogo kuloko wabunge wengine? Anatoka chama gani? na Hali ya maendeleo kwenye jimbo lake ikoje? je jimbo lake lina wasomi na watu madhubuti wepi Kitaifa na kimataifa? na je yumo kwenye kamati zipi? na Hansard records zinasemaje kuhusu misimamo yake kwenye mambo ya kiaifa?


Let the movie start.

In today's world it's all too easy to get distracted from what's truly important..Ccm hakuna kilaza hata moja
 
Huwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!.


Jamani wana jf njoni muone MAKAMBO TOLEKA live!!!!

Oneni jamani kingereza cha hili jamaa. Sijui nalo ni la darasa la kwanza?!..

Pum.bavu kweli kweli!!!!!!!!!!!!!




Eliminating ujinga wako hata wewe huku soma hata kuandika hujui jee tukukataze kuingiajf?
 
Why dont you use your ordinary language? If you love English that much, then go back to your English class. You are annoying!.

Mwehu!.


In today's world it's all too easy to get distracted from what's truly important..Ccm hakuna kilaza hata moja
 
Mkuu,

Kitu gani kinakufanya uhitimishe kama swali nimelielewa?.

Unaweza kunisaidia kunuelewesha kwa sababu hata katiba yetu ya 1977 kwenye Sehemu ya Pili kuhusu wabunge inasema kigezo kimojawapo ni kujua kusoma na kuandika.

Katiba inasema hivi,

67.-(1) Bila ya kuathiri masharti yaliyomo katika ibara hii, mtu yeyote atakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa Mbunge endapo-
(a) ni raia wa Jamhuri ya Muungano aliyetimiza umri wa miaka ishirini na moja, na ambaye anajua kusoma na kuandika katika Kiswahili au Kiingereza.

Hii ina maana kwamba hata kama hufahamu kusoma na kuandika kiingeza lakini anaweza kiswahili utakuwa unaruhusiwa kuwa mbunge.

Mimi nimejifunza kusoma na kuandika kiswahili na pia kiingeza nikiwa nachunga mifugo hata elimu ya uchungaji niya juu kutokana na muda ambao nimetumia katika eneo hili la elimu.

Kuna uwezekano kuna wabunge waliopitia njia kama yangu, sijui hawa utawaweka katika fungu gani kulingana na swali la mleta mada.

Ujuaji usio na maana
 
Swali lako halieleweki!

Elimu gani unayoisema?

Kwa sababu kuna aina mbili za elimu.

Kuna elimu rasmi na elimu inayopatikana kulingana na mzingira.

Mimi nina elimu ya juu sana katika kuchunga ng'ombe, mbuzi na kondoo kwa sababu hili ndiyo eneo langu kwa miaka zaidi ya 30 huku Kijijini Bariadi!.

taja jina tu mkuu
 
Huwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!.


Jamani wana jf njoni muone MAKAMBO TOLEKA live!!!!

Oneni jamani kingereza cha hili jamaa. Sijui nalo ni la darasa la kwanza?!..

Pum.bavu kweli kweli!!!!!!!!!!!!!


Eliminating stupidity is easier than creating brilliance rudi shule wewe kichwa maji hata kusoma hujui
 
Why dont you use your ordinary language? If you love English that much, then go back to your English class. You are annoying!.

Mwehu!.

I have Discover some simple and effective ways to avoid or minimise stress in your life mkuu punguza unene,rudi shule kichwa maji
 
Timewazoea ila Mbowe ni form 4 na Lema form 2 na Sugu Form 4 Failure.

Naomba nikubalianae na wewe kama unavyo sema kuwa mbowe ni form 4 sugu ni form 4 failure na lema ni form 2 ni sawa kabisa!lakini jeeee!!unaweza kuwalinganisha na kibajaji wa standard 4 na jah people wa standard 0 na majimarefu wa strd 1!Acha kufikili kwa kutumia ushuzi wako nyambafuuu!!
 
Naomba nikubalianae na wewe kama unavyo sema kuwa mbowe ni form 4 sugu ni form 4 failure na lema ni form 2 ni sawa kabisa!lakini jeeee!!unaweza kuwalinganisha na kibajaji wa standard 4 na jah people wa standard 0 na majimarefu wa strd 1!Acha kufikili kwa kutumia ushuzi wako nyambafuuu!!

Mungu akipenda hata 2090 chadema ikichukua inchi gongo itakuwa halali.
 
Hapana, Unamsingizia tu. MEMKWA imeanza wakati wa Mkapa, Lukuvi wakati huo alishakuwa Mbunge. Wale wa generation ya .com hawataelewa lakini LUKUVI alikuwa mwalimu wa UPE simply meaning "Ualimu Pasipo Elimu"

Kwa tafsili rahisi ni kuwa Lukuvi hana elimu kabisa kama ulivyo sema alikuwa mwalimu pasipo elimu asante sana kwa taarifa mkuu!! Na ndiyo maana hanaga akili yule jamaaa! Sikujuwa atii!!
 
Nataka kesho uanzishe thread nyingine ya ''Mbunge mwenye elimu kubwa kuliko wote'' Utuambie anatoka jimbo gani, maendeleo kwenye jimbo lake na ana mchango gani kwa serikali! Majibu mazuri ya uzi huo utatufanya tuchangie na hii ya ''mbunge mwenye elimu ndogo''
 
Mtoto akishindwa kusoma, sidhani kama ni vyema kumlaumu yeye moja kwa moja. Kumbuka elimu ya Tz inasimamiwa na wazazi na mzazi akifariki, watoto wanakuwa chini ya maamuzi ya watu wazima wanaobakia karibu yao.

Wengine wananyang'anywa raslimali zote, hawana mtetezi na serikali inaona lakini iko kimya.

Wengine wanagawanwa na ndugu kwa kuwa hawawezi kujitegemea, na ikiwa aliyewachukua hana upendo au mtazamo wa elimu, habari ya shule huishia hapo.

Wengine hufanywa nguvu kazi za ndugu zao as if kufa kufaana, kwamba wazazi wafe ndugu wapate watumwa.

Wengine huanza maisha ya kujitegemea kutafuta namna gani wale na pengine na wadogo zao wasio na uwezo zaidi. Juhudi zao huwawezesha kula japo kwa milo hafifu na wanakuwa hawana uwezo wa kukidhi mahitaji ya shule, kamasare, michango, daftari, kalamu, na hata muda wa kusoma. Kwamba muda wa kukaa darasani, mtoto yuko kwenye vibarua mashambani ama akisombelea maji kwa wajenzi, ama akifanya kibarua chochote kusudi apate chochote kwa ajili ya tumbo lake na ama wategmezi alio nao.

Watoto hawa wengi huwa wana kiu na hutamani sana kusoma shule kama wenzao lakini wanakosa support na wenyewe hawawezi kujisupport!.

Hapa tunatakiwa kumlaum mtoto kwa maisha anayo amua kuadopt anapokuwa over age, kama atajiingiza kwenye kozi mbofu mbofu, wakati kuna options kadhaa hata kama hajasoma.

Lawama kubwa ni kwa serikali kushindwa kuanzisha taasisi maalumu ya maendeleo ya yatima. Ukizingatia kwamba wazazi wao huwa wametoa kodi na michango mingi ajabu katika taifa. Kutelekeza watoto wa marehmu, ni dhami/isisyosameheka.

Serikali inalazimika hata kama haitaki kuwa na budget maalumu/kitngo maalumu kwa ajili ya maendeleo ya yatima ili kuona watoto wanapopoteza wazazi wao hawaachi shule wala kulazimika kuishi barabarani ambako mwisho wa siku wanakuwa panya road.

Hiki kitu inabidi kiwe Imara na kisimamiwe kitaalamu kwa sabbu hakuna siku yatima watakwisha.




Livingstone Lusinde a.k.a Kibajaji. Inasemekana jamaa kaishia darasa la pili na kwa kujilinda huwa anajitetea kuwa wazazi wake walifariki akiwa mdogo akashindwa kuendelea na masomo. Sasa sijui kama wazazi wake walipokufa walizikwa pamoja na shule au vipi.[/QUOTE

What is your educational philosophy?
 
Back
Top Bottom