johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,977
- 141,986
Tetesi zimezagaa kuwa kuna mbunge Jirani na jimbo la Spika aliyejiuzulu amekasirishwa na tafsiri ya sheria hivyo atajiuzulu ili agombee tena kwa mujibu wa Katiba
Inadaiwa mbunge huyo wa barabara ya Dodoma - Morogoro ana ushawishi mkubwa sana kwa Wapiga kura Jimboni Kwake
Ngoja tuone, ikumbukwe Rostam Aziz na Lazaro Nyalandu walishawahi kujiuzulu
Ramadan kareem!
Inadaiwa mbunge huyo wa barabara ya Dodoma - Morogoro ana ushawishi mkubwa sana kwa Wapiga kura Jimboni Kwake
Ngoja tuone, ikumbukwe Rostam Aziz na Lazaro Nyalandu walishawahi kujiuzulu
Ramadan kareem!